TSC YAWATAKA WALIMU KUENDELEA KUZINGATIA MIIKO NA MAADILI YA KAZI ZAO 

Na Moreen Rojasi Dodoma Tume ya utumishi wa walimu imewataka walimu kuzingatia miiko na maadili ya kazi zao na kutekeleza majukumu kwa weledi ili kuleta ubora wa elimu hapa nchini. Katibu Mkuu wa Tume ya utumishi wa Walimu Mwalimu Paulina Nkwama amesema hayo jijini Dodoma wakati akizungumza na waandishi wa habari juu ya Utekelezaji wa